Hapana. Kifafa huonekana kama laana kutoka kwenye mizimu ya mababu wakati mwingine kinahusishwa na mashetani.
Lakini pia inaaminika kuwa ni kwa sababu ya kurogwa na mara nyingi kuna dhana kwamba kinaambukiza.

Kifafa sio laana, bali ni itilafu kwenye ubongo ambayo hupelekea mtu kupata degedege kwa nyakati kadhaa.