Kwenye Hospitali ya Rufaa ya Mt. Fransisco, Ifakara kumuona daktari ni bure!
Lakini kipimo maalumu cha EEG kinachosaidia madaktari kutambua aina ya kifafa hutoza shilingi 25,000.
Ikiwa una bima ya Afya ya NHIF utapata huduma hii bila malipo.

Kwenye Hospitali ya Utengamao “Inuka”, iliyopo Wanging’ombe Mkoani Njombe, kumuona daktari ni shilingi 5,000 na kipimo cha EEG ni shilingi 30,000.
Kwa sasa bima ya NHIF haigharamii kipimo cha EEG, lakini tunalifanyia kazi.